• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

Posted on: April 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga awataka Watumishi kujenga mahusiano mazuri kazini ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi katika Halmashauri ya Buchosa Mkoani Mwanza.

Mhe.Senyi Ngaga amebainisha hayo mapema leo tarehe 03, Aprili,2025 wakati akiongea na watumishi wa makao makuu katika Ukumbi wa mikutano ambapo amesisitiza mahusiano mazuri,ushirikiano na kupendana pindi wanapotimiza majukumu yao ya kazi.

Mhe. Ngaga amesema kwamba watumishi wanao wajibu wa kufanya kazi kwa bidii ili kuleta matokeo chanya katika taasisi za Serikali sambamba kupata stahiki zao za msingi ikiwa pamoja na kulipwa madeni ya uhamisho,likizo na ugonjwa pindi wanapokuwa kazini.

Aidha Bi.Nganga ametoa maelekezo kwa viongozi wakuu wa Idara na Vitengo kuendelea kufanya maandalizi ya ugeni wa Waziri Mkuu ambaye anatarajiwa kufanya ziara katika Halmashauri ya Buchosa hivi karibuni.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Buchosa Bw.Benson Peter Mihayo amewaomba watumishi kuendelea kufanya kazi kwa weledi na kujituma ,Serikali itaendelea kulipa stahiki mbalimbali za watumishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa